Thursday, October 30, 2008
Tofauti kati ya huduma za afya za afrika ya mashariki na hapa Marekani.
Katika muda ulioishi katika Afrika ya Mashariki, umeona tofauti gani zilizopo kati ya huduma za afya za Afrika ya Mashariki na za hapa Marekani? Toa maoni yako tafadhali.
Saturday, October 25, 2008
Tofauti kati ya maisha ya Afrika ya mashariki na Marekani.
Habari zenu,
Katika likizo yenu ya Kiangazi mlikwenda Afrika ya Mashariki na mliishi pale kwa miezi kadhaa. Je kuna tofauti gani kati ya maisha na utamaduni wa Afrika ya Mashariki na Marekani?
Toa maoni yako pamoja na misamiati utakayokuwa nayo katika mada hii.
Katika likizo yenu ya Kiangazi mlikwenda Afrika ya Mashariki na mliishi pale kwa miezi kadhaa. Je kuna tofauti gani kati ya maisha na utamaduni wa Afrika ya Mashariki na Marekani?
Toa maoni yako pamoja na misamiati utakayokuwa nayo katika mada hii.
Tuesday, October 14, 2008
HEKAHEKA ZA UCHAGUZI WA RAIS NCHINI MAREKANI
Hamjambo jamani?
Waswahili walisema, "Kila jambo lina mwisho wake". Ni siku chache tu zimebaki kwa wamarekani kumchagua Obama wa chama cha Democratic au McCain wa chama cha Republican kuwa rais wao.
Wewe kwa mtazamo wako, unadhani ni nani atashinda kuwa rais kati ya wagombeaji hawa wa wawili? Na kwa nini?
Waswahili walisema, "Kila jambo lina mwisho wake". Ni siku chache tu zimebaki kwa wamarekani kumchagua Obama wa chama cha Democratic au McCain wa chama cha Republican kuwa rais wao.
Wewe kwa mtazamo wako, unadhani ni nani atashinda kuwa rais kati ya wagombeaji hawa wa wawili? Na kwa nini?
Subscribe to:
Posts (Atom)